Afisa mauzo wa Airtel Fabian Felician (kulia) akimzawadia shilingi million tatu, Bwana Ezekiel Mashita kutoka Dar Es Salaam baada ya kuwa mshindi katika droo ya kumi na moja ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”.
Meneja mauzo wa Airtel bwana Pascal
Bikomagu.(kulia) akimpongeza bwana Oswald Marandu (kushoto) kutoka
Kilimanjaro, baada ya kuibuka mshindi katika droo ya kumi na moja
ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko” na kujishindia shilingi
milioni moja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...