Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aonya wasimamizi wa uchaguzi mkoani humo kuzingatia na kufuata sheria katika zoezi la kupiga kura kuepusha vurugu.https://youtu.be/E4PqPs6h9uY
Mgombea uraisi wa Zanzibar Dr.Shein aahidi kupandisha bei ya zao la karafuu endapo atachaguliwa ili kuinua kipato cha wakulima. https://youtu.be/hlUp7Y0XU1c
Mgombea mwenza wa uraisi aahidi kutatua na kuondoa migogoro ya ardhi mkoani Simiyu kufuatia kukithiri kwa migogoro mkoani humo. https://youtu.be/AA3y7T9r0kk
Raisi Kikwete serikali kwa kushirikiana na hosptiali ya CCBRT itahakikisha inatokomeza tatizo la fistula. https://youtu.be/q2t5paQ8x9M
Zaidi ya shilingi milioni 6 zinatarajiwa kutumika kuzilipia bima ya afya Kaya 100 zikiwemo za watu wenye ulemavu, wajane na watu waishio kwenye mazingira magumu https://youtu.be/J3av9BxheLM
Vyama viundavyo ukawa vyaitaka tume ya uchaguzi kuhakikisha daftari la wapiga kura linakuwa la haki ili kuondoa hofu. https://youtu.be/gKtVcvRPdA4
Watanzania watakiwa kuwa makini na sera zinazotolewa na wanasiasa majukwaani kabla ya kufanya maamuzi ya kuchagua kiongozi https://youtu.be/Jrjfn1zUapo
Mgombea wa Chadema Edward Lowassa aahidi kupitia upya katiba pendekezwa ili kuhakikisha inaingiza serikali tatu https://youtu.be/itbOcypzJDA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...