Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aonya wasimamizi wa uchaguzi mkoani humo kuzingatia na kufuata sheria katika zoezi la kupiga kura kuepusha vurugu.https://youtu.be/E4PqPs6h9uY

Mgombea uraisi wa Zanzibar Dr.Shein aahidi kupandisha bei ya zao la karafuu endapo atachaguliwa ili kuinua kipato cha wakulima. https://youtu.be/hlUp7Y0XU1c

Mgombea mwenza wa uraisi aahidi kutatua na kuondoa migogoro ya ardhi mkoani Simiyu kufuatia kukithiri kwa migogoro mkoani humo. https://youtu.be/AA3y7T9r0kk

Raisi Kikwete serikali kwa kushirikiana na hosptiali ya CCBRT itahakikisha inatokomeza tatizo la fistula. https://youtu.be/q2t5paQ8x9M

Zaidi ya shilingi milioni 6 zinatarajiwa kutumika kuzilipia bima ya afya Kaya 100 zikiwemo za watu wenye ulemavu, wajane na watu waishio kwenye mazingira magumu https://youtu.be/J3av9BxheLM

Vyama viundavyo ukawa vyaitaka tume ya uchaguzi kuhakikisha daftari la wapiga kura linakuwa la haki ili kuondoa hofu. https://youtu.be/gKtVcvRPdA4

Watanzania watakiwa kuwa makini na sera zinazotolewa na wanasiasa majukwaani kabla ya kufanya maamuzi ya kuchagua kiongozi https://youtu.be/Jrjfn1zUapo

Mgombea wa Chadema Edward Lowassa aahidi kupitia upya katiba pendekezwa ili kuhakikisha inaingiza serikali tatu https://youtu.be/itbOcypzJDA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...