Na Anitha Jonas –MAELEZO
 SERIKALI imeandaa mkakati wa  kuzuia Homa ya Bonde la Ufa (Rift Valley Fever) nchini kutokana na kuwepo na viashiria vya kuwepo na ungojwa huo katika kipindi hiki cha mvua za Eli-nino kama ilivyoripotiwa na Mamlaka ya hali ya hewa.

Ugongwa wa Homa ya Bonde la Ufa ni hatari sana na kwani katika kipindi cha 2006/2007 ulipotokea ulisambaa kwa kasi na kuathiri vijiji 175  kati ya wilaya 11 katika ya Ukanda wa Kati na Ukanda wa Kaskazini Mashariki mwa nchi. 

Hayo aliyasema hivi karibuni Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi Dkt.Yohana Budeba alipokuwa akifungua mkutano wa wataalamu kutoka sekta mbalimbali wanaoandaa mkakati wa kupapamba na Homa ya Bonde la Ufa nchini.
Kusoma zaidi bofya HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...