Mgombea urais kupitia CCM Dk.Magufuli aunda jopo la wataalamu kwa maandalizi ya kufanya mabadiliko serikalini;  https://youtu.be/UHe1rFFsj30

Dk.Shein aahidi Bandai ya kisasa kwajili ya kuboresha sekta ya uvuvi iwapo wananchi watamchagua tena kuwa rais wa Zanzibar; https://youtu.be/HmJ8mA_JuSk 

Bodi ya kupambana na rushwa ya Umoja wa nchi za Afrika yaeleza kufurahisha na mchakato wa   kisiasa unavyoendelea nchini  na kuwataka wananchi kutumia haki yao ya kupiga kura; https://youtu.be/pg_b4kHkztU

Wanne watiwa mbaroni na jeshi la polisi kwa kuhusika katika utekaji wa  magari 6 na kupora mali za abiria  Mkoani Singida;  https://youtu.be/3WsK2IWKv3M

Mgombea urais NRA Janken Kasambala aahidi kuweka mgawanyo sawa wa rasilimali za nchi iwapo wananchi watamchagua kuwatumikia,  https://youtu.be/bWNejw0i2rw

Watanzania waaswa kulinda tunu za amani, umoja na haki licha ya kuwepo na uchocheze kwa baadhi ya wanasiasa;  https://youtu.be/3S9wmE225uU

Mgombea mwenza  CCM Samia Suluhu asimamishwa katika msafara wake na kuombwa kutoa maelezo juu ya hatma ya reli ya kati; https://youtu.be/u0uVlvc_gtM 

Rais wa Namibia Hage Geingbob awasili nchini kwa ziara za kiserikali ya siku mbili kufuatia mualiko aliyopewa na rais Kikwete; https://youtu.be/YbMwwONQx5k

Matumizi ya Mto Pangani yaleta mgogoro baina ya wadau kutokana na wananchi kukiuka masharti ya matumizi ya  maji ya mto huo; https://youtu.be/P7bcd4uL6uI

Mgombea urais kupitia CHAUMA Hashim Rungwe atoa vipaumbele vya maendeleo atakavyo shughulika navyo iwapo atapata urais; https://youtu.be/ReQzMyseOOw

Mgombea urais Zanzibar DK. Shein amefanya kampeni visiwani humo huku akujivunia utekelezaji wa ilani hususani katika huduma za afya; https://youtu.be/dYjkinxULhg

Mgombea urais anayeungwa na UKAWA Lowasa afanya kampeni  Mkoani Musoma huku akiahidi kushughulikia ujenzi wa hospitali Mkoani humo;https://youtu.be/4kjPzjCKw78

Taifa Stars kupambana na Algeria baada ya kuitoa timu ya Malawi katika michuano ya kuwania kufuzu kombe la dunia; https://youtu.be/fGjYm7vSSfQ

Klabu ya Toto Afrika ya jijini Mwanza imefanya uchaguzi mdogo wa viongozi huku Godwin Haiko aibuka mshindi wa nafasi ya mwenyekiti;https://youtu.be/4OgcxB01AXw

TaifA Stars yasonga mbele safari ya kuelekea kombe la dunia kwa kuiondoa  timu ya Malawi licha Stars kufungwa katika mechi ya leo, https://youtu.be/hcznLX6hhew

Mchezaji wa mbio za magari mwenye asili ya Uingereza Lewis Hamilton aibuka kidedea katika mashindano ya mchezo huo liofanyika Urusi;  https://youtu.be/0bgH7RmQmV0

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...