Wakazi wa Arumeru Mkoani Arusha wameiomba serikali kupitia Mpango Wa TASAF kuongeza wigo wa msaada wa fedha kwa wazee. https://youtu.be/wcopmoLBTDk

Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani Geita chajipangwa kutumia askari wasiovaa sare ili kudhibiti mwendokasi wa Madereva https://youtu.be/Pkugvqgn5Fo

Mchezo uliopigwa kati ya wenyeji Sudani Kusini dhidi ya Mauritania wavunjika kutokana uwanja kujaa maji ya mvua ilionyesha hapo jana: https://youtu.be/XJQMbuvYOkE

Bondia Man Pacquiao ameweka wazi kuwa huenda akastaafu masumbwi hivi karibuni ili apate muda wa kupumzika: https://youtu.be/LO5p9IGHvMk

Makampuni binafsi Nchini yameombwa kujitokeza kunusuru mchezo wa mpira wa kikapu amabo unakabiriwa na changamoto ya viwanjwa:https://youtu.be/4RW6J0SuffI

Mgodi wa Geita GGM umetenga Sh.bil 1.7 kwajili ya kuanzisha mradi utakaozalisha ajira kwa vijaana zaidi ya 200 Mkoani humo; https://youtu.be/ktNzNHCbrwY

Kuendelea kwa mfumo dume katika mikoa mbalimbali nchini kwasababisha wanawake  kuishi katika hali duni licha ya kuchuma mali  pamoja;https://youtu.be/ZXgmBI0nTLY

Wataalam wakutana jijijini Dar Es Salaam kujadili changamoto na jinsi ya kukabiliana na ugonjwa wa malaria kwa nchi za Afrika. https://youtu.be/WjZkY-20Kaw

Mamlaka ya maji Mkoani Tabora imeridhishwa na upanuzi wa mradi wa miundombinu ya maji utakaosaidia ongezeko ya utoji huduma ya maji;https://youtu.be/vC0Nb5sSTp8

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...