Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Ambaye piya ni
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amnadi
mgombea Ubunge kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), katika mkutano
wa adhara wa kampeni za Mgombea Ubunge uliofanyika katika Kata ya
Iganzo Jijini Mbeya.
Baadhi ya Wanachama na Wakazi wa Iganzo wakimpongeza Mgombea
Ubunge Sambwee Shitambalaa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...