Waziri wa Nchi Ofis ya Makamu wa Rais Mazingira Mh. Binilith
Mahenge akiwa kwenye picha ya pamoja na Baloz wa Ufaransa nchini, pamoja na
wageni waliotembelea Ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili kujadili
mchango wa Tanzania katika Mkutano wa Ishirini na Moja wa nchi wanachama
wa Mkataba Mpya wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Paris nchini
Ufaransa Desemba mwaka huu.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais - Mazingira Mh. Dk. Binilith Mahenge akiwa na Balozi wa
Ufaransa nchini, Bi Malika Berak wakionesha
nyaraka zinazungumzia mchango wa Tanzania katika Mkataba mpya wa Mabadiliko ya
Tabianchi utakaofanyika katika Mkutano wa Ishirini na Moja wa nchi wanachama wa
Mkataba huo jijini Paris, Ufaransa Desemba mwaka huu. Picha na OMR
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...