Meneja
wa Azania Bank tawi la Moshi ,Hajira Mmambe akikabidhi vifaa vya
kufanya usafi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ,Jeshi
Lupembe ,vifaa hivyo vimetolewa kwa ajili ya kutekeleza agizo la rais
Magufuli la kufanyika wa usafi siku ya Desemba 9.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,Jeshi Lupembe akiwa ameongozana na
Afisa afya mkuu wa manispaa hiyo,Mgeta Sebastian wakati wa kupokea
msaada a vifaa vya kufanyia usafi kutoka Benki ya Azania tawi la Moshi.
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,Jeshi Lupembe akipokea rasmi msaada
kutoka benki ya Azania uliowasilishwa na Meneja wa benki hiyo ,Hajira
mmambe kwa ajili ya kufanyia usafi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...