Baada ya uteuzi wa waziri Mkuu Kassim Majaliwa,fumbo la baraza la mawaziri laendelea kutesa vichwa vya watu wengi huku Wananchi katika maeneo mbalimbali nchini wakitoa maoni yao. https://youtu.be/lu0uKdIO00s

Wachambuzi mbalimbali nchini waendelea kutoa mitazamo na maoni yao juu ya baraza jipya la mawaziri la serikali ya awamu ya tano. https://youtu.be/BlpbU4iOQTc

Serikali ya Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa ndege mbili maalum kwa ajili ya kufanya doria katika mbuga mbalimbali ili kusaidia juhudi za kudhibiti ujangili. https://youtu.be/zZ_3w3Gn7lA

Wananchi mkoani Kagera wajitokeza kusindikiza mwili wa aliyekuwa mtangazaji na mwandaaji wa vipindi Prince Baina Kamukulu. https://youtu.be/WC3TUyzNuPE

BOFYA HAPA KUONA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...