Baada ya uteuzi wa waziri Mkuu Kassim Majaliwa,fumbo la baraza la mawaziri laendelea kutesa vichwa vya watu wengi huku Wananchi katika maeneo mbalimbali nchini wakitoa maoni yao. https://youtu.be/lu0uKdIO00s
Wachambuzi mbalimbali nchini waendelea kutoa mitazamo na maoni yao juu ya baraza jipya la mawaziri la serikali ya awamu ya tano. https://youtu.be/BlpbU4iOQTc
Serikali ya Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa ndege mbili maalum kwa ajili ya kufanya doria katika mbuga mbalimbali ili kusaidia juhudi za kudhibiti ujangili. https://youtu.be/zZ_3w3Gn7lA
Wananchi mkoani Kagera wajitokeza kusindikiza mwili wa aliyekuwa mtangazaji na mwandaaji wa vipindi Prince Baina Kamukulu. https://youtu.be/WC3TUyzNuPE
BOFYA HAPA KUONA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...