Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hatunywi sumu hatujinyongi......Naam! hii iIlikuwa ni nyimbo muafaka kabisa na ambayo iliweza kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuzifanikisha kampeni za Chama Cha Mapinduzi, kwani ujumbe wake ni msumari tosha! Mbali ya mdundo mzuri uliowapa nafasi kwa kila rika kujitanafas vilivyo katika kuserebuka kukinadi na kukipigia kampeni Chama tawala. Pongezi za dhat kwa watunzi na washiriki wote katika kufanikisha.

    ReplyDelete
  2. Bado wanaisoma number, jamani hakuna kura zilizoibiwa!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...