Mkoa wa Kilimanjaro waelezwa kuchomoza kwa mara nyingine kama ngome imara ya upinzani baada ya UKAWA kushinda majimbo 7 kati ya 9.https://youtu.be/x_xWwEKDHWI

Wakazi katika wilaya mbalimbali za mkoa wa Mara wakabiliwa na tatizo kubwa la njaa kutokana kuoza kwa zao la mihogo. https://youtu.be/EWTxc-rpzN8

Wazazi na walezi nchini washauriwa kuto wabagua na watelekeza watoto wenye ulemavu na badala yake kuwalea kwa upendo mkubwa. https://youtu.be/J3ikLbUSJvE

Wavuvi 2 wafariki dunia baada ya boti zao kuzama bahari ya hindi huku chanzo kikielezwa kuwa ni upepo mkali. https://youtu.be/zsxXkd8HQQM

Mzee Pius Msekwa azungumzia sifa stahiki anazotakiwa kuwa nazo Spika wa bunge ajaye katika bunge la 11. https://youtu.be/Z3x5ueyXEHE

Mwandishi wa AZAM TV asimulia jinsi alivyokutana na Dr.Magufuli katika ziara yake ya kushitukiza wizara ya fedha. https://youtu.be/YRCZzairYLI

Raisi Dk.Magufuli avamia wizara ya fedha na kukuta baadhi ya wafanyakazi hawapo kazini; https://youtu.be/8Fkep8cY1fg

Tume ya uchaguzi Tanzania nec imetangaza nafasi za wabunge wa viti maalumu.https://youtu.be/FhbcWfjkGnM

Watu wanne wamefariki kutokana na mafuriko jijini mwanza; http://simu.tv/ukHJ3An

Watu wanne wamefikishwa mahakamani kwa kosa la matumizi mabaya ya mitandao;https://youtu.be/WUnM8iZHMmE

Serikali mkoani Kagera imeakanusha uvumi wa kuibuka kwa ugonjwa wa kipindupindu;https://youtu.be/DR-_8hHHUCA

Mamlaka ya mbunga za wanyama Tanzania TANAPA imehimarisha ulinzi kwa wanyama aina ya tembo kwa kuwafunga kifaa cha kisasa; https://youtu.be/Y7R52IVA3oU

Serikali mkoani Mbeya imeanza kuwasaidia wakulima za wazo la mpunga ili kuhimarisha uzalishaji wa zao hilo; https://youtu.be/flALkeBjIOk

Viongozi mbalimbali wa dini za kiislamu na kikristo wanatarajia kufanya kongamano la maombi ya shukrani kwa kufanikisha uchaguzi wa amani na utulivu.https://youtu.be/CVmrCxVvuF8

Raisi wa awamu ya tano amuapisha mwanasheria mkuu wa serikali baada ya kumteua hapo jana huku naye akizungumza machache. https://youtu.be/g3m7Nd-q7_k

Tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza mgawanyo wa viti maalum vya wanawake kwa vyama ambavyo vilikidhi vigezo vilivyowekwa. https://youtu.be/AQKnDKfic0I

Jeshi la polisi Dar es salaam limeendelea kuwahoji watuhumiwa 38 wa kituo cha LHRC kwa tuhuma za kukiuka mashariti waliyopewa na tume ya uchaguzi.https://youtu.be/lAmq1IZroEA

Polisi nchini yapiga marufuku mikutano na maandamano yote ya kisiasa nchini kwa kile ilichodai ni viashiria vya uvunjifu wa amani. https://youtu.be/9iXynTcIEXQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...