Hati  kwa  maana  ya  hapa   ni  hati  za  nyumba  na  viwanja,  kwa  ufupi  ni  hati  za  ardhi. Kwakuwa  hati  ni  karatasi  sawa  na  karatasi  nyingine  basi   huweza   kuharibka  au  kuchakaa.  
Huweza  kuchakaa  kwasababu  mbalimbali    za  kibinadamu Inaweza  kunyeshewa na  mvua  au  kumwagikiwa  na  maji  kwa  namna  yoyote  ile,  inaweza  kuungua  moto  na  wakati  mwingine   inaweza  kuharibika  kutokana  na  majanga  ya  ajali  za  barabarani n.k.  
Muhimu  ni  kujua  tu  kuwa  hati  huharibika   na  ziko  sababu  nyingi  za  msingi  ambazo  hulipelekea hilo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...