Viongozi na mashekhe wa kundi la Uamsho leo wafikishwa mahakamani wakiwa chini ya ulinzi mkali. https://youtu.be/IcVmpMbpHXw

Mkuu wa mkoa wa Dare es salaam awataka maafisa afya kushishirikiana na viongozi wa serikali za mtaa kukagua na kusimamia usafi kila siku.https://youtu.be/SnoyR4U1MBg

Mwanaharakati wa chadema na anayedaiwa kuwa kampeni meneja wa lowassa atiwa mbaroni kufuatia utata juu ya uraia wake. https://youtu.be/67Yqx97umgk

Jeshi la polisi nchini kikosi cha usalama barabarani kimefanya tathimini ya matumizi ya tochi katika mikoa mbalimbali na kubaini baadhi ya askari wake kutokuwa waadilifu.https://youtu.be/t9nQEapxXh4

Mamlaka ya mapato nchini TRA yaonyesha kuwa na matarajio ya kukusanya mapato mengi zaidi na kuvuka lengo kufuatia msukumo waliopewa na Raisi Magufuli.https://youtu.be/bopx4A7oHL0

Baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa Ludewa hatimaye CCM katika jimbo hilo imempitisha Deo Ngalawa kuwania ubunge wa jimbo hilo.https://youtu.be/oaaexLzmEoA

Mvua zinazoendelea kunyesha huko jijini Mwanza zaelezwa kuharibu miundombinu na kuathiri makazi ya wananchi wa eneo mbalimbali jijini humo.https://youtu.be/m6KRWC-1oLc

Baadhi ya wananchi huko wilayani Musoma mkoani Mara waiomba serikali mpya kupambana na vitendo vya uvuvi haramu. https://youtu.be/0vRdT99awmQ
Viongozi wakuu wa kisiasa Zanzibar Maalim Seif na Raisi Shein wakutana kwa mara nyingine tena visiwani Zanzibar kujadili mgogoro wa kisiasa visiwani humo.https://youtu.be/CAqw5rgNmJk
Miundombinu katika soko la mashine 3 katika manispaa ya Iringa yaelezwa kuwa duni licha ya soko hilo kuwa la pili kwa ukusanyaji wa mapato mkoani hapo.https://youtu.be/CgGlPAdnzKg
Baadhi ya wananchama wa CCM walioshindwa katika kura za maoni wamekanusha madai ya kukihujumu chama katika uchaguzi mkuu; https://youtu.be/D2OgvYQI1YU
Tahadhari juu ya ugonjwa wa kipindupindu kwa baadhi ya wananchi bado changamoto katika jijini la Mwanza; https://youtu.be/-2kWgVKk-p0

Jeshi la polisi Mtwara linawashikilia watu watatu kwa kutuhuma za kutengeneza mabomu bandia; https://youtu.be/xA4ZusJ1Ij8

Serikali imetoa agizo kwa kila mkoa  nchini kubainisha zao kuu la kilimo linaloweza kulimwa kwa kila mkoa ili kujengewa viwandal; https://youtu.be/vq15qLERmrE
Raisi Dk.Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasimi mchezo kati ya Taifa Stars dhidi ya Algeria kuwania nafasi ya kucheza kombe la dunia 2018;https://youtu.be/6NNIFWfh9Bk
Machozi ya furaha yamtoka baba wa mchezaji wa Taifa Stars pamoja na klabu ya TP Mazembe ya Congo, Mbwana Samatta; https://youtu.be/H_BxRIyaiaI

Wabunge wa bunge la Afrika Mashariki wamefurahishwa na maboresho yanayofanyika ndani ya  bandari Dar se Salaam; https://youtu.be/rbVAW0s_eL8

Benki ya Barclays nchini imezindua huduma mpya ya kibenki kwa njia ya mtandao;https://youtu.be/896nGjfUnM0

Mamlaka ya mapato nchini TRA imefikia lengo lake la makusanyo ya kodi kati ya mwezi wa saba adi wa kumi; https://youtu.be/zxotVUKE58U

Chama cha ACT Wazelendo kimempongeza raisi Dk.Magufuli kwa kutelekeza baadhi ya sera za chama hicho; https://youtu.be/Sv1ebqlQuH0

Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani kimesema kitawachukulia hatua kali askari watakao kiuka maadili ya kazi; https://youtu.be/4f_k80JUS_Y

Hatimaye Mashine ya MRI iliyopo hospitali ya taifa ya Muhimbili yaanza kufanya kazi kufatia agizo la Raisi Dk.Maguli alilolitoa wakati wa ziara yake;https://youtu.be/KSZ5pGO3_Jo

Wananchama wa Chama Cha Mapinduzi CCM wameanza kuchukua fomu kuwania kiti cha Usipika na unaibu Sipika  katika bunge la Tanzania; https://youtu.be/ci6aQSkXn1o

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...