SIMU.TV:  Katibu mkuu wa Chama cha Madereva yaendayo mikoani Rashid Saleh amefariki  dunia kwa kusadikika Kula chakula chenye Sumu.https://youtu.be/fh_DhC0qY2I
SIMU.TV: Watoto zaidi ya 40 wenye ugonjwa wa mdomo sungura kufanyiwa upasuaji baada ya kupata ufadhili wa kampuni ya Geita Gold mine;https://youtu.be/2IMVZvEzd4c
 SIMU.TV: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita amesema hatasita kuwafukuza kazi watumishi wanaokataa kwenda kufanya kazi vijijini; https://youtu.be/wuyLttIDxlM
 SIMU.TV: Mmoja wa Walionusurika katika Migodi ya Tanzanite arusha amefariki dunia jana baada ya kupata matatizo ya Pumzi. https://youtu.be/sleJYIPTtAE
 SIMU.TV: Chama cha Wachimbaji wadogo wa Madini Ya Tanzanite kimepinga tamko la Kamishna wa Madini Juu ya Utaratibu mpya wa Uchimbaji.https://youtu.be/qXN08oQN0mU 
 SIMU.TV: Kanisa la Anglikana limesema liko tayari kuungana na Serikali ya awamu ya 5 kutokana na mwelekeo mzuri aliyoonesha Rais Magufuli. https://youtu.be/SzRA7cG6RHA
 SIMU.TV:  Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema usimamizi wa miradi ya maendeleo inahitaji taaluma ili kufikia malengo ya milenia.https://youtu.be/nDl0Z0uajxw

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...