SIMU.TV:  Askari mmoja afariki na watatu kujeruhiwa baada ya  gari walilokuwa wakifanyia doria kupinduka Mkoani Singida; https://youtu.be/nonF7IsMrkQ
 SIMU.TV:  Kamati kuu ya CCM pamoja na wabunge wa CCM kukutana kesho mkoani Dodoma ili kumalizia mchakato wa kutafuta spika, https://youtu.be/dDcHPQG7-M4
 SIMU.TV:  Polisi Geita yawakamata watuhumiwa watatu kwa makosa ya uhalifu wa kulipua bomu na kutishia usalama wa raia wakidai fedha; https://youtu.be/RllAKgqu6C4
 SIMU.TV:  Kamati kuu ya CCM pamoja na wabunge wa CCM kukutana kesho mkoani Dodoma ili kumalizia mchakato wa kutafuta spika, http://simu.tv/023GKcv
 SIMU.TV:  Wakazi Mkoani Dodoma wadai kutoridhishwa na bunge lililopita na kuwataka wabunge wapya kuweka maslahi ya wananchi kwanza;https://youtu.be/s4TU69b4Oqc
 SIMU.TV:  Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoani Geita afariki dunia baada ya kukatwa na mapanga na watu wasiofahamika;  https://youtu.be/53uDq4xf84M
 SIMU.TV:  Polisi Geita yawakamata watuhumiwa watatu kwa makosa ya uhalifu wa kulipua bomu na kutishia usalama wa raia wakidai fedha; https://youtu.be/QPErNoFzUiI
 SIMU.TV:  Wanasheria waingilia kati suala la Zanzibar na kuvomba vyombo vinavyohusika kushughulikia  tatizo hilo mapema; https://youtu.be/h5rgJkrSEHU 
 SIMU.TV:  Wananchi watakiwa kujijengea tabia ya kufanya mazoezi ili kuepukana na ugonjwa wa kisukari  ambao umesababisha vifo mil 4.9, https://youtu.be/WNc_m8v9EjY
 SIMU.TV:  Baadhi wa wanajeshi wastaafu mkoani mbeya wameipongeza serikali Kwa kuwasajiri katika mifuko ya hifadhi ya jamii ili kupata matibabu burehttps://youtu.be/2EXnWS1M0fo
 SIMU.TV:  Vijiji vinne wilayani Mheza mkoani Tanga wataanza kunufaika na mradi wa maji ulioanzishwa baada ya kuteseka  kwa muda mrefu: https://youtu.be/QtAa-R_o-Sc
 SIMU.TV:  Mkuu wa mkoa wa Manyara Dkt. Joel Bendera amewaagiza mfuko wa maendeleo ya jamii TASAFU kunusuru kaya maskini: https://youtu.be/hWirL5Pm-r8
 SIMU.TV:  Serikali imeunda kamati maalumu Mererani mkoani  Arusha  kwa ajili ya kutatua matatizo yanayowakabili wachimbaji madini: https://youtu.be/tWpLyP7LOh4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...