Jumapili iliyoisha ya tarehe 08.11. 2015, wanawake mbali mbali jijini Dar es salaam walikutana katika tamasha la kitchen party gala likiwa limebeba ujumbe wa mwanamke simama na timiza ndoto zako.
Wanawake wakiwa wamevalia khanga ambayo ndio ilikuwa dress code ya tamasha walikusanyika kwa wingi kwa ajili ya kupata mafunzo na ushauri bila kusahau burudani.
Pia  Ilichezeshwa droo ya kushinda safari ya Afrika Kusini kwa siku mbili  alishinda, iliyodhaminiwa na kinyago tours. Pamoja na droo ya kumtafuta Mshindi wa safari ya Mikumi national park nae alipatikana akapokea certificate toka kwa mkurugenzi wa kinyago tours bi Diana.


                                   Muongoza shughuli Dina Marios akisisitiza jambo.
Ilichezeshwa droo ya kushinda safari ya Afrika Kusini kwa siku mbili na huyu dada ndio alishinda.Atasafiri na mumewe mtarajiwa na imedhaminiwa na kinyago tours.
Mshindi wa safari ya Mikumi National Park nae Bi. Edna Haki Ngowi akipokea certificate toka kwa mkurugenzi wa kinyago tours bi Diana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...