Abilia wakiwa katika Stendi Kuu ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam wakisubiria usafiri wa kuelekea Mikoa mbalimbali, leo.

Abilia wakiwa katika Stendi Kuu ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam, wakiimarisha usalama wa malizao, leo.
Abilia wakiwa wamejipumzisha chini ya mti katika Stendi Kuu ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Vp mheshimiwa Ankal, hii taa yetu ya jamii haina mhakiki?
    Lugha hii si sawa jamani. Abilia si neno la kiswahili. Yatakiwa liandikwe ABIRIA kwa kutumia herufi R na wala si Herufi L.
    Tupotoshapo matumizi ya maneno katika upashanaji habari tujue wanaojifunza lugha pia wanapotoka. Tatizo hili la matumizi mabovu ya herufi R na L pia huyabaini sana katika televisheni ya michuzi ambayo kuna kijana huyo huwezi kabisa kutamka herufi R.
    Ankal tumbua jipu hili tafadhali.
    Mndengereko Ukerewe

    ReplyDelete
  2. Ni Abiria Jamani sio Abilia, mbona waandishi wanaandika kiswahili kibovu hivyo. Editor kazi yake ni nini??

    ReplyDelete
  3. Kiswahili cha wapi hicho? Abilia?

    ReplyDelete
  4. Kuna makosa madogo madogo. Kuna makabila wana badilisha R kuwa L na L kuwa R. Pia nimeona neno onyesha linaandikwa onesha mara nyingine. Ila shukurani michuzi kwa habari katika blig yako. Viva Michuzi TV!

    ReplyDelete
  5. Watu kama hao watapaje ruhusa ya kuwa mbele ya TV ilhali lafdhi zao zimejaa L mahali pa R.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...