
Hivyo mshindi wa kwanza katika fainali hizo alijinyakulia Ng'ombe mzima, huku Mshindi wa pili Oxford alizawadiwa Mbuzi na mshindi wa tatu Kazembe boys wamechukua Jezi pea moja.
Mgeni rasmi katika fainali hizo, alikuwa ni Diwani wa Kata ya Kilungule, Mh. Said Fella ambaye alikabidhi zawadi hizo kwa washindi wote katika mchezo ambao ulimalizika jana katika viwanja vya Maji matitu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...