Mkurugenzi
Mkuu wa kampuni ya Ulinzi ya Security Group Africa (SGA), Eric Sambu
(kulia) akimkabidhi mshine ya kupumulia na mashuka, Mratibu wa Tiba
katika Hospitali ya Mwananyamala, Dk Daniel Nkungu. Makabidhiano hayo
yalifanyika mwishoni mwa wiki. Katikati yao ni Meneja Mahusiano kwa
wateja wa SGA, Sophia Luhikula.
Vitu vilivyotolewa msaada Hosipitalini hapo.
Mkurugenzi
Mkuu wa kampuni ya Ulinzi ya Security Group Africa (SGA), Eric Sambu
(kulia) akimkabidhi mshine ya kupumulia na mashuka, Mratibu wa Tiba
katika Hospitali ya Mwananyamala, Dk Daniel Nkungu. Makabidhiano hayo
yalifanyika mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja Mahusiano kwa wateja wa
SGA, Sophia Luhikula.
KWA PICHA ZAID BOFYA HAPA
KWA PICHA ZAID BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...