Mashine hiinIpo imara sana na inafaa sana kwa mazingira ya hapa kwetu Tanzania na inaweza kuishi muda mrefu na ni rahisi  sana kuifanyia matengenezo pindi inapo haribika... Tumeileta kutoka Denmark na haijatumika hapa Tanzania bei ni rahisi  na ya faida kwani ukivuna msimu moja tu kwa kiasi cha ekari 350 utakua umerejesha hiyo hela,,. Kama ni mkulima ikikupita hii utakuja kuikumbuka kwani ni moja ya zana chache hapa nyumbani.. Mashine hii  ipo MBWENI Daresalaam
BEI NI MIL..34 TSH  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...