WAOMBOLEZAJI wakiwa katika msiba wa mchungaji kiongozi wa Kanisa la Pentekoste la Jumbi, Elias Funga uliofanyika nyumbani kwake Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.
 Waombolezaji wakiwa katika mazishi ya mchungaji kiongozi wa Kanisa Pentekoste la Jumbi, Elias Funga yaliofanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.
 ASKOFU Daniel Kwilemba kutoka Kanisa la Pefa liliopo Kisauni Unguja akiweka mchanga kwenye kaburi la mchungaji kiongozi wa Kanisa Pentekoste la Jumbi, Elias Funga, mazishi hayo yalifanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.
 Mjane wa marehemu mchungaji kiongozi wa Kanisa la pentekoste la Jumbi, Elias Funga, Lucia Funga akiweka shada la maua katika kaburi la mumewe.

Mgombea Uwakilishi Jimbo la Tunguu (CCM), Mhe. Simai Mohammed Said akiweka shada la maua katika kaburi la mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Pentekoste la Jumbi, Elias Funga, maziko hayo yalifanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja. Picha na Haroub Hussein.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...