Jana umezinduliwa pale Johannesburg, mtandao wa mabloga 18 wa Sub-Saharan Africa; #AfricaBlogging .
Ni mtandao wa mabloga wa kimataifa utakaohusika zaidi na masuala ya
kukuza demokrasia na uwajibikaji kupitia kazi za kublogi. Nimebahatika
kuwa mmoja wa mabloga hao nikiwa na pia mjumbe wangu Chambi Chachage,
tukiwakilisha Tanzania. Ukiwa na muda soma makala yangu ya kwanza kwenye
mtandao huo;http://www.africablogging. org/time-for-girls-football/
Home
Unlabelled
Mjengwablog Kwenye Mtandao Wa Mabloga 18 Afrika Uliozinduliwa Johannesburg
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...