Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla akizungumza na duka la dawa kwa wagonjwa wanaotumia
huduma ya bima ya afya katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara.
Kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt.
Shaibu Maarifa.
Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla akisikiliza maelezo kutoka kwa Daktari wa zamu
kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga (kulia) wakati
wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Mganga
Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.
Muuguzi
Kiongozi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa
Mtwara, Getrude Mangosongo (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (wa pili kushoto) alipotembelea wodi ya akinamama wakati wa
ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Daktari wa
zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga na wa pili
kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt.
Shaibu Maarifa.
Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla (kulia) akiwasili katika jengo jipya la Hospitali ya
Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia
mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo
Msumbuji.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...