Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela (kulia) akipokea moja kati ya msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya mji wa Babati (Mrara) anayemkabidhi ni meneja wa NHIF Mkoani humo, Isaya Shekifu.
 Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela (kulia) akipokea msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya mji wa Babati (Mrara) anayemkabidhi ni meneja wa NHIF Mkoani Manyara, Isaya Shekifu.
 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Manyara, Isaya Shekifu akizungumza mara baada ya kumkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Babati Crispin Meela mashuka 100 waliyotoa msaada kwenye hospitali ya mji wa Babati (Mrara), ambayo inakabiliwa na upungufu wa mashuka kwa wagonjwa.
 Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya mji wa Babati (Mrara), kushoto ni meneja wa NHIF mkoani humo, Isaya Shekifu na kulia ni Ofisa ushirika wa halmashauri ya mji huo Keneth Shemdoe.
Baadhi ya wakazi wa mji wa Babati Mkoa wa Manyara, wakishuhudia Mkuu wa Wilaya ya Babati Crispin Meela akikabidhiwa msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Meneja wa mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoani humo, Isaya Shekifu kwa ajili ya hospitali ya mji huo (Mrara) ambayo inakabiliwa na upungufu wa mashuka ya kujifunikia wagonjwa wanaolazwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Asanteni kwa msaada, ila hizo pesa ambazo zimetumiwa kuprint nembo si singenunua mashuka mengine zaidi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...