Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
- Katibu
Mkuu Kiongozi
Balozi - Ombeni
Sefue
- Katibu
Mkuu Ikulu
Peter Ilomo
- Ofisi
ya Rais, Utumishi na Utawala Bora
Dkt. Laurian
Ndumbaro
- Ofisi
ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Mhandisi Mussa
Iyombe (Katibu Mkuu)
Dkt. Deo Mtasiwa (Naibu Katibu Mkuu - Afya)
Bernard Makali
(Naibu Katibu Mkuu - Elimu)
- Ofisi
ya Makamu wa Rais
Mbaraka
A. Wakili ( Katibu Mkuu)
Mhandisi
Ngosi Mwihava (Naibu Katibu Mkuu)
- Ofisi
ya Waziri Mkuu (Bunge, Sera, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu)
Erick Shitindi
(Katibu Mkuu Kazi na Ajira)
Mussa Uledi
(Katibu Mkuu Bunge)
Dkt. Hamis
Mwinyimvua (Katibu Mkuu - Sera)
- Wizara
ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Dkt. Frolence
Turuka (Katibu Mkuu - Kilimo)
Dkt. Mashingo
(Katibu Mkuu Mifugo)
Dkt. Budeba
(Katibu Mkuu - Uvuvi)
- Wizara
ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Mhandisi Joseph.
Nyamuhanga (Katibu Mkuu - Ujenzi)
Dkt. Leonard M.
Chamuliho (Katibu Mkuu - Uchukuzi)
Profesa Faustine
R. Kamuzora (Katibu Mkuu - Mawasiliano)
Mary Sassabo
(Naibu Katibu Mkuu Mawasiliano)
- Wizara
ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Dkt. Yamungu
Kayandabira (Katibu Mkuu)
Dkt. Moses
Kusiluka (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Maliasili na Utalii
Meja Jenerali Gaudence
S. Milanzi (Katibu Mkuu)
Anjelina Madete
(Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Dkt. Adelhem James
Meru (Katibu Mkuu - Viwanda)
Profesa Adolf F.
Mkenda (Katibu Mkuu - Biashara na Uwekezaji)
Mhandisi Joel
Malongo (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Maimuna Tarishi
(Katibu Mkuu)
Profesa Simon S.
Msanjila (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Leonard
Akwilapo (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dkt. Mpoki
Ulisubisya (Katibu Mkuu - Afya)
Sihaba Nkinga
(Katibu Mkuu - Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto)
- Wizara
ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo
Profesa Elisante
Ole Gabriel Mollel (Katibu Mkuu)
Nuru Halfan Mrisho
(Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Mbogo
Futakamba (Katibu Mkuu)
Mhandisi Kalobero
Emmanuel (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Nishati na Madini
Profesa Justus W.
Ntalikwa (Katibu Mkuu)
Profesa James
Epifani Mdoe (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Paulina
Pallangyo (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Katiba na Sheria
Profesa Sifuni
Mchome (Katibu Mkuu)
Suzan Paul Mlawi
(Naibu Katibu Mkuu)
Amon Mpanju (Naibu
Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Mambo ya Ndani
Jaji Meja Jenerali
Projest A. Rwegasira (Katibu Mkuu)
Balozi Hassan
Simba Yahaya (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Fedha na Mipango
Dkt. Silvacius
Likwelile (Katibu Mkuu)
Dorothy Mwanyika
(Naibu Katibu Mkuu)
James Dotto (Naibu
Katibu Mkuu)
Amina Hamis Shaban
(Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara
ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa
Dkt. Aziz Mlima
(Katibu Mkuu)
Balozi Ramadhan
Muombwa Mwinyi ( Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
- Job D. Masima (Katibu Mkuu
- Immaculate Peter Ngwale (Naibu Katibu Mkuu
Makatibu
wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wote ambao hawajatajwa katika orodha hii
watapangiwa kazi nyingine.
Katika
hatua nyingine Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
amemteua Bw. Eliakimu Maswi kuwa Kaimu Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA) na ametengua uteuzi wa Naibu Kamishina wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania Bw. Lusekelo Mwaseba, ambaye atapangiwa kazi nyingine
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
30 Desemba, 2015
Eric Shitindi, Kazi na ajira, jembe la ukweli.
ReplyDeleteKwa maoni yangu Rais hakuweza bana bajeti kwenye hili. Haina maana kupunguza idadi ya wizara wakati kwenye wizara kuna makatibu wawili au naibu makatibu 2. Hiyo ni sawa na kuwa na wizara nyingine. Sijaona kipya kwenye hili.
ReplyDeleteMdau Mzalendo.
Inabidi kuelewa mfumo mzima wa uendeshaji wizara ili kutambua ni gharama kiasi gani zimepunguzwa.idadi ya makatibu wakuu sio element pekee ya cost inayoangakiwa.
DeleteKaunganisha wizara, ili kupunguza idadi ya wizara, mawaziri na manaibu. Kupunguza makatibu wakuu haiwezekani, kwa sababu ni sawa na kupunguza shughuli za utendaji serikalini.
DeleteOver 90% ya mawaziri na makatibu wa wizara wamepita shule, vijana wa mashuleni, shule inalipa na siyo bongefReva.
ReplyDeleteGood
ReplyDeleteKazi nzuri sana Rais Magufuli!!!!
ReplyDeletePerfect. Asiyeona jipya ame jipanga kutoona jipya!
ReplyDeleteKuwa katibu Mkuu shule lazima imekaa HASWA .ila magufuli bwana makatibu wakuu kibao .
ReplyDeleteKuwa katibu Mkuu lazima uwe na masters degree na ulikuwa director wa wizara au kampuni Fulani hivi .Mkisikia mtu katibu Mkuu hicho ni cheo cha mwisho serikalini walionakia wote ni wana siasa tu Hapo .mwawaziri manaibu mawaziri wana siasa wengine wameishia high school Mawaziri Kama dyamwale ,Yule MZEE kusanji hawa watu shule no.Makatibu wakuu ndio wezi wenyewe ushawahi sikia katibu Mkuu kafulia kastaafu .wengi wakistaafu makatibu wanapata kazi UN kwenye makampuni binafsi .Mawaziri wakipigwa chini tu wanafulia Hao maana hawana experience ile executive .Mfano mkubwa Sumaye mpaka Harvard kaenda kwa Sababu hajawahi kuwa executive au ukurugenzi au commissioner wa wizara .Ndugu Mkisikia mtu KATIBU MKUU mtu kapiga shule huyo ..
ReplyDeleteJamani nae ni binaadamu sio malaika.
ReplyDeleteHapa kazi tu. Kwa maslahi ya umma sio binafsi
ReplyDelete