Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini,Rebecca Malope akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa JNIA jioni hii tayari kwa ajili ya kutumbuiza kaika tamasha la Krismass litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam kesho likishirikisha waimbaji mbalimbali wakiwemo wa nchini Tanzania kama vile Rose Muhando, Upendo Nkone, Joshua Mlelwa na wengine wengi , kushoto katika picha anayefurahia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion iliyoandaa na kumleta mwimbaji huyo  Bw. Alex Msama.
  Rebecca Malope akiwasalimia baadhi ya mashabiki wake (hawapo pichani) waliokuja kumlaki mara baada ya kuwasilia uwanja wa ndege wa JNIA jioni hii tayari kwa ajili ya kutumbuiza tamasha la Krismass litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam kesho
 Marope akikaribishwa kwa upendo na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Msama Promotions.
 Rebecca Malope Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini akizungumza na mratibu wa tamasha hilo Bw. Hadson Kamoga mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa JNIA jijini Dar es salaam.
Rebecca Malope Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini akisisitiza jambo huku akitabasamu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa JNIA.
 Rebecca Malope Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili nchini kwenye uwanja wa ndege wa JNIA jijini Dar es salaam, waliosimama nyuma Bw. Alex Msama na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo Hadson Kamoga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...