SIMU.TV:  Wananchi wameaswa kuwa waadilifu kipindi hiki cha sikukuu na kudumisha sala kila siku badala ya kusali siku za sikukuu pekee; https://youtu.be/yb5nfF5p1Lw
 SIMU.TV:  Wadau wa soka wasema kufungiwa kwa viongozi wa FIFA Blatter na Plattini hakutaathiri misaada ya michezo kwa nchi za Afrika; https://youtu.be/YxTar3tzgBM
 SIMU.TV:  Rais Magufuli ametoa misaada ya vyakula katika vituo vya watoto yatima na watoto wenye ulemavu mkoani Kagera; https://youtu.be/MFtmYmoPWgs
 SIMU.TV:  Uwepo wa changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa mashabiki na imani potofu miongoni mwa wazazi vyaeleza kusababisha kudorora kwa kandanda upande wa wanawake; https://youtu.be/glJKgy2riiY
 SIMU.TV:  Wakulima wa kujitegemea wa tumbaku waitaka serikali kuingilia kati uamuzi wa bodi ya tumbaku kuwafuta wakulima binafsi katika bodi na kuwataka wakulima hao kufanya ushirika;https://youtu.be/H4HdmVVmsKw
 SIMU.TV:  Katibu wa hospitali Zanzibar alaani wizi wa vitendeakazi katika vituo vya tiba na kueleza kuwa vitendo hivyo vinarudisha nyuma maendelea ya huduma katika hospitali; https://youtu.be/CYIFhWdCpuA
 SIMU.TV:  Chama cha wafugaji kanda ya ziwa kimeitaka serikali kuwaingiza wafugaji kwenye bajeti ili kukuza uchumi wa taifa;  https://youtu.be/-Se09D-zoSE  
 SIMU.TV:  Wazazi wametakiwa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko la watoto wa mitaani; https://youtu.be/7cib6LRMQ9o
 SIMU.TV:  Hali ya usafiri yazidi kuwa tete katika kituo cha usafirishaji Ubungo hali inayosababisha abiria kupata usumbufu; https://youtu.be/O4Q7IoqGpbA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tumbueni waheshimiwa tumbueni, sisi sala kila leo, misikitini, makanisani, makazini,safarini na popote tulipo. SAFISHENI, nchi ilinuka hii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...