SIMUTV: Baadhi ya familia wilayani  Mpwapwa mkoani Dodoma zinahangaika kutafuta pesa kwa ajili ya kununulia vyakula kufuatia kupanda kwa gharama za maisha; https://youtu.be/PFFhDlgHT1g

SIMUTV: Chama cha ushirika cha wakulima wa korosho mkoani Lindi kimesema mfumo wa stakabazi umewawezesha kunufaika na zao hilo:https://youtu.be/8pEeK_f2S7g

SIMUTV: Baadhi ya madereva pikipiki waiomba TRA kuwapatia elimu juu ya kubadilishwa kwa namba mpya za pikipiki: https://youtu.be/QJzL6mviErI

SIMUTV: Benki ya wanawake Tanzania kwakushirikiana na mipango miji wamewakwamua wanawake kwa kuwapatia mikopo ya viwanja:https://youtu.be/WQR4YZi_g0A
  
SIMUTV: Wakazi wa mkoa wa Njombe wailalamikia serikali kutokana na mkandarasi kusababisha uharibifu wa mazingira katika maeneo yao:https://youtu.be/Mq6cynfpt_8

SIMUTV: Baadhi ya vijiji vilivyo karibu na ziwa Tanganyika vyakabiliwa na tatizo la maji na kupelekea kutafuta maji kutoka umbali mrefu:https://youtu.be/sdwovGOD-Ls

SIMUTV: Watoto wasio na wazazi na wanaozaliwa na virusi vya ukimwi  waelezwa kukumbwa na matatizo kufuatia jamii inayowazunguka kuwatenga:https://youtu.be/KAnfcct5zVA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...