Serikali imetoa agizo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kuhakikisha wanafikisha taarifa za ugonjwa wa kipindupindu wizarani kwa wakati.  https://youtu.be/wxauztmL6Rk

Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wameunga mkono jitihada za rais Dkt Magufuli kwa hatua anazochukua kupambana na vitendo vya ubadhirifu.   https://youtu.be/bYqUW5DXtao

wakazi wa eneo la Kinondoni Jijini Dar wameanza kujenga upya mabanda ili kujihifadhi baada ya nyumba zao kubomolewa.  https://youtu.be/BasLD6w7-xw
  
Watanzania washauriwa kupima afya zao kila baada ya miezi sita na kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa: https://youtu.be/VhTGpWvwizw

Wahitimu wa mafunzo ya awali JKT Dodoma wahimizwa kuwa wazalendo na kushirikiana vema kulinda taifa la Tanzania: https://youtu.be/3sbrd0q0XVc

Watuhumiwa nane washikiliwa na Jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumiliki silaha kinyume na sheria: https://youtu.be/IBx0BE0nwOo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...