Ndugu Crammer Chiduo wa Tabata Dar es salam anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake Dr Elizer Chiduo kilichotokea siku ya Jumamosi tarehe  27/12/15 katika Hospitali ya Taifa  ya Muhimbili jijini Dar es salaam. 

Misa ya kumuombea marehemu pamoja na kutolewa kwa heshima za mwisho kwake itafanyika nyumbani kwake Chuo Kikuu cha Dar es salaam Jumatatu tarehe 28/12/15 kabla ya kuanza safari ya kuelekea Kilosa mkoani Morogoro  katika kijiji cha Magubike kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika siku ya Jumanne tarehe 29/12/15. 

 Bwana alitoa na Bwana ametwaa
 jina lake na  Lihimidiwe.

 Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...