Ujumbe
wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa
Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni (aliyeketi mbele ya logo ya NHC)
ukijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya nyumba nchini na
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Tanzania, Nehemia
Kyando Mchechu. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya
mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania
unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi
Shirika la NHCC Uganda.
Ujumbe
wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa
Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni (aliyeketi mbele ya logo ya NHC)
ukijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya nyumba nchini na
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Tanzania, Nehemia
Kyando Mchechu. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya
mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania
unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi
Shirika la NHCC Uganda.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...