Baadhi ya wazee wanaotunzwa katika kituo cha Elders, Kilichopo Bukumbi Mkoa wa Mwanza wakitafakari baada ya kukabidhiwa misaada ya magodoro na vyakula mbalimbali na Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa,Ikiwa ni utekelezaji wa kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji kupitia mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Foundation” kwa ajili ya sikukuu za Chrismasi na Mwaka mpya,kupitia progamu yake ya Pamoja na Vodacom inayofanyika kila mwaka wakati wa msimu wa sikukuu. Msaada huo uligharimu jumla ya shilingi Milion 27/-
Mkuu wa kanda ya ziwa wa Vodacom Tanzania, Dominician Mkama(kushoto)akimkabidhi moja ya zawadi ya godoro Mzee mtoto Rajabu Lugwisha anayeshi katika kituo cha wazee cha Elders kilichopo Bukumbi jijini  Mwanza, kwa ajili ya sikukuu za Chrismasi na Mwaka mpya,Msaada huo ulitolewa pamoja na vyakula mbalimbali na mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Foundation”kupitia progamu yake ya Pamoja na Vodacom unaotoa misaada mbalimbali wakati wa msimu wa sikukuu. Msaada huo uligharimu jumla ya shilingi Milion 27/-

 Baadhi ya watoto wanaolelewa katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Village of hope kilichopo Mkoa wa Mwanza,wakiwa na nyuso za furaha baada ya kukabidhiwa msaada wa vyakula na vitu mbalimbali na Mkuu wa kanda hiyo wa Vodacom Tanzania,Dominician Mkama(hayupo pichani)kwa ajili ya sikukuu za Chrismasi na Mwaka mpya,Msaada huo ulitolewa na mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Foundation”kupitia progamu yake ya Pamoja na Vodacom unaotoa misaada mbalimbali wakati wa msimu wa sikukuu. Msaada huo uligharimu jumla ya shilingi Milion 27/-
 Mkuu wa kanda ya ziwa wa Vodacom Tanzania, Dominician Mkama(kulia)akimkabidhi moja ya zawadi mtoto Rajabu Sanga(4)anayelelewa katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Village of hope kilichopo Mkoa wa mwanza kwa ajili ya sikukuu za Chrismasi na Mwaka mpya,Msaada huo ulitolewa na mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Foundation”kupitia progamu yake ya Pamoja na Vodacom unaotoa misaada mbalimbali wakati wa msimu wa sikukuu. Msaada huo uligharimu jumla ya shilingi Milion 27/-
Afisa mfawidhi makao ya wazee wasiojiweza wa kituo cha wazee cha Elders kilichopo Bukumbi jijini  Mwanza,Michael Bundala(kulia)akipokea misaada ya vyakula,magodoro 111 pamoja na Neti za kuzuia Mbu kutoka kwa Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa,Dominician Mkama ikiwa ni utekelezaji wa kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji kupitia mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Foundation” kwa ajili ya sikukuu za Chrismasi na Mwaka mpya,kupitia progamu yake ya Pamoja na Vodacom inayofanyika kila mwaka wakati wa msimu wa sikukuu,Msaada huo uligharimu jumla ya shilingi Milion 27/-

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...