Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika harakati za kuchukuwa matukio  wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipofany ziara ya kukagua mradi wa mabasi yaendayo haraka- UDART Desemba Jumamosi 19, 2015. Inafurahisha kuona wanagabari wasichana wanaopiga picha wanazidi kuongezeka idadi na kula sahani moja na kaka zao bila wasiwasi 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kweli wapo kazini ila dressing yao haipo kikazi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...