Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. Rekebisha grammer...ni either WE ARE WISHING YOU HAPPY HOLIDAYS au WE WISH YOU HAPPY HOLIDAYS

    ReplyDelete
  2. Kaka Michu,
    Hiyo heading umekosea kidooogo.... nafikiri ingekuwa hivi 'We wish you Happy Holidays' sio 'wishing'

    Naomba weka kapuni comment, tunasaidina

    ReplyDelete
  3. Siyo happy holidays! ni we wish you a merry Christmas, michuzi call a spade a spade!

    ReplyDelete
  4. I WISH EVERYBODY MERRY CHRISTMAS AND A HAPPY NEW YEAR!

    ReplyDelete
  5. Mjomba Michuzi,
    Sawa tumepokea Salaamu za Sukukuu isipokuwa kwa uchache ungeandaa hata Mpunga wa Wana Jamvi au ukikosa kabisa Kahawa pale kwenye Kona yetu ya Empress Darisalama.

    ReplyDelete
  6. Ankal
    Happy Christmas wewe na team-Michuzi
    Tunakushukuru kwa dhati kwa yote uliyotufanyia na bila shaka utaendelea kutuletea habari na taarifa za mambo yatokeayo huko nyumbani
    God bless you all and your families
    ibrahim

    ReplyDelete
  7. Kingereza Kingereza Kingereza, hakuna kitu inasema We wishing you happy holidays

    ReplyDelete
  8. Kingereza kikorofi kabisa kabisa
    Hao jamaa wanaojidai kuwa ni makujua wa kimombo bila shaka wamejifunza lugha kwa correspondence course. Bil awal hakuna kosa kusema..Michuzi media group is wishing you Happy Holidays.It may not be Queen's English but it says what it says.Its in present-continuous tense indicating that the reffered event has begun and hasn't finished. The grammar,(kaka grammar ni double m na a siyo e.) is acceptable.I write this in jest after all its Christmas.Have a very Happy CRIMBLE.

    ReplyDelete
  9. Lugha gongana Na tarehe pia

    ReplyDelete
  10. Nyie mnaojifanya wajua Kimombo, acheni kujifanya wajuaji!kwani kimombo siyo lugha yake ya kuzaliwa. Kiswahili mlichoanza kukisikia mkiwa hamjazaliwa, nacho bado mnaandika kwa makosa, sa iwe lugha ya kujifunza??Ujumbe wa salam ulioelezwa hapo tumeupata... Asante Mr. Michuzi (misosi)Heri(kheri)ya Noeli na Mwaka mpya,binafsi nakutakia kila la kheri na uendelee kutupa habari mbalimbali za Bongoland

    ReplyDelete
  11. Waafrika na wabongo tuna shida saana; watu tunarekebishana kwa uzuri tu wengine wanakuja kuwaponda wanaorekebisha wenzao! Tukubari jamani kujikosoa ata siku moja na tusione noma tukikosolewa kwa maana hakuna aliye kamilika.

    Napenda sana kukosolewa in either way.

    ReplyDelete
  12. Jamani tusaidiane kuelimisha Watanzania wenzetu tofauti ya L na R katika lugha ya Kiswahili. Tuombe wizara ya elimu iweke msisitizo kuanzia shule za chekechea.

    ReplyDelete
  13. Thanx & be the same to you

    ReplyDelete
  14. SIONI HAJA YA KUPINGA USAHIHISHAJI.

    ReplyDelete
  15. Nyie wasahihishaji wa lugha, muwe wa kwanza pia kumsahihisha na rais anayeweka R kwenye L and vice versa. Tatizo letu watanzania hatuwezi kupokea ujumbe bila kuukosoa. Na ndio maana nchi bado ipo nyuma sana kimaendeleo. Badala watu wakosoe vitu vya maana, wanakosoa lugha?! Sasa uncle akibadilisha na kuweka we wish you mtafaidika na nini?! Mscheww, hapo mkute hata hamuwezi kuongea kiingereza fasaha kwa dakika 5 mfululizo lakini mnajidai ujuaji hapa kwa Michuzi.

    Shukran sana uncle kwa kutuletea habari mbalimbali na heri ya mwaka mpya

    ReplyDelete
  16. Ok HERE WE GO
    Shukulani sana uncle kwa kuturetea habali mbarimbari na heli ya mwaka mpya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...