Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam jana juu ya takwimu dhahiri kuwa nchi ina akiba ya kutosha ya mafuta na wataendelea kupokea shehena za mafuta kama kawaida na kwa kiasi kitakachoendelea kutosheleza mahitaji ya nchi.
Wandishi wa habari wakimsikiliza Mkurungenzi wa Mkuu wa Mamlaka wa Udhibiti wa Huduma Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi. Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...