Aliyekuwa Katibu mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Alphayo Kidata kwa sasa ni Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akikabidhi baadhi ya nyaraka kwa Katibu Mkuu mpya wa Wizara hiyo Dkt. Yamungu Kayandabila wakati wa makabidhiano ya ofisi makao makuu ya wizara hiyo jijini Dar es salaam Jumatatu.

 Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Alphayo Kidata (wa pili kutoka kulia) ambaye kwa sasa ni Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) akimtambulisha Katibu Mkuu Mpya Dkt. Yamungu Kayandabila (wa pili kutoka kushoto) kwa wafanyakazi wa Wizara hiyo mara baada ya kuwasili na kukabidhiwa rasmi ofisi.  Wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Dkt. Moses Kusiluka na wa kwanza Kulia ni Mkurugenzi msaidizi Rasilimaliwatu Bi. Teddy Njau.
Katibu Mkuu mpya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Yamungu Kayandabila akizungumza na Management Team mara baada ya mapokezi na kukabidhiwa ofisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...