Wakati  mwingine  kujilinda  waweza  kukuita  kujitetea,kujiokoa au kujikinga.  Ni  hali  ambapo  mtu  hufanya  jitihada  za  kujinasua  katika  tendo  ovu  ambalo  linatekekezwa na  mtu  mwingine  dhidi  yake.  
Mfano  wake  ni  kama  kuvamiwa  na  majambazi, kutekwa, kufanyiwa  fujo  ya  aina  yoyote, kupigwa au  kujaribu  kupigwa n.k. Matukio ya  namna  hii  au  yanayofanana  na  haya ni  sehemu  yetu  ya  maisha.  Yumkini  yanapotutokea  huw  tunachukua  hatua.  Na moja  ya  hatua    ya  awali  kabisa  tunayochukua  huwa  ni  kujaribu  kujitetea   au  kujikinga  nayo.
Umevamiwa  nyumbani   na  majambazi,  umefanyiwa  fujo  njiani  kwasabasbu  yoyote  ile  na  wewe  unaamua  kujitetea  ili  usidhurike,  na  katika  kujitetea  huko   unasababisha  kifo  cha  mtu, awe  yule aliyetaka  kufanya  fujo au mwingine  mpita  njia.  Sheria  inasemaje  kuhusu  mkasa  wa  aina  hii.  Makala  yataeleza  japo  mambo  ya  msingi  kuhusu  hali hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...