Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga, akizungumza na wahitimu (hawapo pichani) katika mahafali ya chuo hicho yaliyofanyika jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga, akimtunuku cheti mmoja kati ya wanafunzi bora waliofanya vizuri katika masomo yao Chuoni hapo.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga, (wa nne kutoka kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa chuo hicho pamoja na baadhi ya wahitimu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...