Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma leo Januari 24, 2016. Kutoka kushoto  ni  Dkt. Raphael Chegeni wa Busega, Adadi Rajabu wa Mhuheza  na Jason Rweikiza wa Bukoba Vijijini.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Mbunge wa Busega, Dkt.Raphael Chegeni kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma leo Januari 24, 2016. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wenyeviti wa Kamati za Bunge Ofisini kwake mjini Dodoma leo Januari 24, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wenyeviti wa Kamati za Bunge Ofisini kwake mjini Dodoma leo Januari 24, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongereni sana viongozi. Naomba niwakilishe ombi langu kwenu. Tuomba ufikie wakati uwepo utaratibu wa kutoa bajeti za mikoa na wilaya kama ilivyo kwa wizara. Tujua mikoa inachangia nini katika pato la taifa. Tujue pia kwa mwaka mikoa inatumia kiasi gani? Mambo haya yakianza kuandikwa kwa utaratibu na kuwakilishwa bungeni mambo yatabadilika. Itungwe kanuni ya kuwaruhusu baadhi ya watu wasio wabunge kama wakuu wa mikoa na wilaya kufika mbele ya bunge na kutoa ufafanuzi wa mambo fulani. Bunge likiwa na utaratibu huo nchi itabadilika. Watueleze wazi wazi wanafanya nini kuliko kupata taarifa hizo fupi fupi kupitia taarifa za habari.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...