Kutoka uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam, Simon Msuva anaipatia Yanga goli la kuongoza dhidi ya Friends Rangers; https://youtu.be/OdfOIIGrH7g
Kutoka uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam, Simon Msuva anaipatia Yanga goli la pili;https://youtu.be/GTm57NeJCOM
Kutoka uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam, Matheo Antony anaipatia Yanga goli la tatu; https://youtu.be/jaGLGX4CXXQ
Kutoka mjini Shinyanga, Jerryson Tegete anaipatia Mwadui FC goli la kuongoza;https://youtu.be/ISvrBBeCrF4
Kutoka uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam, Pambano baina ya Yanga na Friends Rangers limemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa goli 3-0;https://youtu.be/gSsMbJfAusE
Kutoka mjini Shinyanga pambano baina ya Mwadui na Stand United yalakamika kwa Mwadui kuibuka na ushindi wa goli 1-0; https://youtu.be/NUVNaUj6Gzs
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...