SIMU.TV:  TANESCO yazoa zaidi ya shilling milioni 20 baada kufanya msako wa wezi wanaolihujumu shirika hilo la umeme; https://youtu.be/WF_42psYtAc
 SIMU.TV:  Waliovamia eneo la hifadhi la wazee eneo la Nyungwe Kigamboni wapewa siku 21 kuboa nyumba zao na kuhama maeneo hayo; https://youtu.be/fGuqPTKDC2s
 SIMU.TV:  Wakazi wa vijiji vya Chalinze wanalazimika kutumia maji ya kwenye malambo ya kunyweshea mifugo kutokana na ukosefu wa maji safi na salama;https://youtu.be/DB6GcxSZXgc
  SIMU.TV:  Klabu ya Simba yaigomea Etoile Du Sahel kulipa kwa awamu ada ya uhamisho wa mchezaji Emmanuel Okwi; https://youtu.be/SRxE_UJADmk
 SIMU.TV:  Vigogo wa mamlaka ya bandari warudishwa wizarani huku nafasi zao zikichukuliwa na watumishi wengine; https://youtu.be/crvziUux9KQ
 SIMU.TV:  Mgogoro kati ya wafanyabiashara na halmashauti ya Nzega wafikia tamati kwa kusainishana mikataba na kuwataka wafanyabiashara hao kulipa ushuru;https://youtu.be/idxZ2T0A0YE
 SIMU.TV:  Makampuni za uchimbaji madini ya Tanzanite 24 yaingia matatani kwa uharibifu wa miundombinu ya umeme;

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...