Sehemu ya nyumba za wakazi wa maeneo ya Kwa msisiri-Kinondoni jijini Dar,yakiwa yamezungukwa na maji kufuatia mvua kubwa kunyesha usiku wa kuamkia leo,kwa ni Mvua za masika zinaendelea kunyesha maeneo mbalimbali ya nchi.
wakazi wa maneo ya Kwamsisiri wilayani Kinondoni wakitafuta namna ya kupita kufuatia njia kuzibwa na maji
(Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...