AZAM TV: Arsenal yapaa, Man united yashinda, Azam na Simba vitani Zanzibar, Liverpool chali, Chacharito ang’ara, Niyonzima atoa ya moyoni. Tazama uchambuzi wa magazeti ya leo. https://youtu.be/7l4a3gY8ngM  

TBC: Kingunge ampa siku 100 Magufuli, Wananchi wavamia shamba la Sumaye, Basi lenye abiria 42 latumbukia mtoni, Mwigulu acharuka; Pata dondoo za magazeti ya leo. https://youtu.be/0gFnivfZUfc  

STAR TV: Mchungaji Rwakatare aivimbia serikali, Wingu zito lazidi kutanda Zanzibar, Panga la Magufuli lawanyemelea Mabalozi. Furahia uchambuzi wa magazeti. https://youtu.be/CviaHbXdM_o

CH10: Lowassa amemponza, Ubadhilifu wa kutisha mnadani, Mawaziri wakuu wamjadili Magufuli, Bomoa bomoa yahamia kwa Vigogo. Tazama habari zilizopewa uzito wa juu magazetini. https://youtu.be/ADpPuEdXzeA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...