Mgeni Rasmi katika Sherehe ya Kutambulisha Rasmi Mafunzo ya Masomo ya Biashara yaliyo anza kutolewa na Chuo cha Sayansi na Teknolojia (MUST) Ndugu,Kisa Kwejo Muwakilishi wa Meneja wa (TRA) kwa Mkoa wa Mbeya akitoa Ufafanuzi katika Uzoefu wake katika Kazi juu ya Biashara na kuwatia Moyo Wanafunzi wanao Soma Masomo ya Biashara yanayoendelea kutolewa na Chuo hicho cha Sayansi na Teknolojia katika Nyanja Mbalimbali ikiwemo...,Ujasiliamali, Uwasibu,Lasilimali Watu,Manunuzi na Ugavi Pamoja na Biashara, hivyo Bi. Kisa Kwejo ameshauri kwa Wanafyunzi Mbalimbali wa Masomo hayo na watakao Jiunga na Masomo hayo kujikita katika Fulsa ya Kujiajiri mara baada ya kupata Mafunzo hayo ya Biashara,

Mkuuu wa Darasa la Mafunzo ya Masomo ya Biashara Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia (MUST) kilichopo Jijini Mbeya akizungumza katika Hafla hiyo ya Kutambulisha Rasmi Mafunzo ya Masomo ya Biashara yanayoendelea kutolewa na Chuo hicho na kuwataka Wadau Mbalimbali wa Biashara, Wanafunzi, Wazazi, Waalimu na Vyombo Mbalimbali vya Habari kutambua kuwa Chuo cha Must Mbeya hakitowi Mafunzo ya Sayansi na Tecknolojia pekeyake pia kina toa Mafunzo ya Masomo ya Biashara na kinawakaribisha Wanafunzi kutoka Sehemu Mbalimbali kujiunga na Chuo hicho Kujifunza  Masomo ya Bishara.

Mgeni Rasmi Bi. Kisa Kwejo akitoa Zawadi kwa Mmoja wa Wanafunzi wa Chuo hicho cha Sayansi na Teknolojia (MUST) anaefanya vizuri katika Masomo ya Biashara....


                                                   Picha ya Pamoja.

                             PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA,
                                   KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...