Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kigwangalla akihitimisha yaliyojiri wakati wa ziara yake katika kituo cha afya cha Mjimwema.
Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kigwangalla wakati wa ziara yake katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma, akitoa maelekezo kwa Dkt. daktari bingwa wa upasuaji, Dkt Hassan Lumbe.
Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kigwangalla katika kituo cha afya cha Mjimwema.
Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kigwangalla akitoa maelezo paa Mafinga.Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini, Cosato Chumi na Mganga Mkuu wa hospitali ya Halmshauri ya mji wa Mafinga. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...