Mgeni Rasmi wa
Hafra hiyo Bwana Jastine Ruta Mkurugenzi wa Chuo cha Ufundi Veta kanda
ya Mbeya akihutubia katika Hafra hiyo ya Wahitimu wa Mafunzo Rasmi ya
Veta kwa walio kuwa na ujuzi katika Nyanja Mbalimbali ikiwemo Upishi,
Uwashi, Ufundi wa Magari pamoja na Chakula na
Vinywaji.
Mkuu wa Chuo cha
Ufundi Veta kanda ya Mbeya Ndugu Lameck Padrii Kihinga akizungumza
jambo katika Hafra hiyo ya Mahafari ya Mafunzo Rasmi yaliyo tolewa na
Chuo cha Veta kwa Vijana na Watu Mbalimbali wenye Fani hizo za Ufundi
kujiendeleza Kifani na kupata Cheti.
Baadhi ya wahitimu wakisoma Lisala kwa Mgeni Rasmi ikiwa ni
miongoni mwakuhitaji Elimu ifike mpaka Vijijini juu ya ujasiliamali,
Kujiajili au Kuajiliwa mara baada ya kuhakikiwa Kimafunzo, Mafunzo
endelevu na kujiunga katika Vikundi Mbalimbali vya Ujasiliamali, Ubora
wa kazi na Usalama, Kupata Mikopo na Sehemu Nzuri za kufanyia Mafunzo
pia kusaidiwa Kutangaza shughuli zao katika Vyombo Mbalimbali vya
Habari ikiwemo, Redio, Magaazeti, Vituo vya Terevisheni, Blog
Mbalimbali Vipeperushi na Magari ya Matangazo.
Baadhi ya
wahitimu wakiwa katika Ukumbi Mdogo wa Chuo cha Ufundi Veta iliyopo
Ilomba Jijini Mbeya.
PICHA ZOTE NA
MR.PENGO MMG MBEYA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...