Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Mkutano wa Wadau wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Februari 9, 2016.
           Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Rais wa VICOBA, Devota             Likokola (wapili kulia ) wakati alipotembelea banda la Benki ya Posta         Tanzania katika Mkutano wa Wadau wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi        alioufungua kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha walimu Julius         Nyerere jijini Dar es salaam Februari 9, 2016.
                                                 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...