Kijana Eric Filipi Mzee mwenye umri wa miaka 16 ametoroshwa na watu wasiojulikana nyumbani kwa Walezi wake Mr & Mrs Noel Ngallo Mbezi Beach, eneo la samaki wabichi karibu na hospitali ya Massana. Kwa taarifa tunaomba sana yeyote atakayemuona awasiliane kwa simu namba 0719 308383, 0754 308383, 0715 284951, 0754 284951 au kituo cha chochote cha polisi hususan Kawe na Osyterbay.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...