Muonekano wa kituo kipya cha kusukuma maji kilichopo eneo la Ruvu Darajani kikiwa kimekamilika ambapo kitakuwa kinasukuma maji kwenda katika mtambo wa Ruvu Juu.
Pampu moja ya kituo hicho inauwezo wa kusukuma maji lita milion 60 kwa siku kuna jumla ya pampu mpya tatu na pampu mbili zitakuwa zinafanya kazi kwa wakati mmoja.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...