Waziri Mkuu Mhe Kassim Majliwa akizungumza wakati alipofunga mafunzo ya pili ya watendaji wakuu waandamizi na wakuu wa kiraia na kijeshi kwenye Chuo cha Kijeshi Kunduchi jijini Dar es salaam Februari 12, 2016.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majliwa akizungumza wakati alipofunga mafunzo ya pili ya watendaji wakuu waandamizi na wakuu wa kiraia na kijeshi kwenye Chuo cha Kijeshi Kunduchi jijini Dar es salaam Februari 12, 2016.
Washiriki wa mafunzo ya pili ya watendaji wakuu waandamizi na wakuu wa kiraia na kijeshi wakGimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majliwa wakati alipofunga mafunzo hayo kwenye Chuo cha Kijeshi Kunduchi jijini Dar es salaam Februari 12, 2016.
Waziri Mkuu Mhe. Kasim Majliwa akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya pili ya watendaji wakuu waandamizi na wakuu wa kiraia na kijeshi baada ya kufunga mafunzo hayo kwenye Chuo cha Kijeshi Kunduchi jijini Dar es salaam Februari 12, 2016.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Michuzi, naomba kuuliza jina rasmi la mheshimiwa waziri mkuu ni lipi:
ReplyDeleteKassim Majaliwa Kassim
Majaliwa Kasim Majaliwa
Kassim Majaliwa Majaliwa
Nimeuliza hivyo kwa kuwa baada ya kuisoma Globu ya Jamii leo hii nimeona Mh. Waziri Mkuu ameandikwa, ametajwa na bango kuonekana majina yake yakiwa ktk mtiririko tofauti, je jina lake rasmi lipo ktk mtiririko gani?